Added: Nov 23, 2008

From: standardgroupkenya

Duration: 1:42

Waziri mkuu Raila Odinga kwa mara nyingine tena amerejelea umuhimu wa kuachiliwa kwa washukiwa wa ghasia za baada ya uchaguzi. Raila ana maoni kuwa amani haitorejea iwapo polisi ambao anashtumu wataendelea kushikilia washukiwa hao bila mashtaka yafaayo. Raila amedokeza kuwa ni kupitia tume ya Waki ambapo maswala kama hayo ya baada ya uchaguzi yanafaa yajadiliwe.

Channel: News

Tags: amani  ambao  ambapo  amedokeza  amerejelea  ana  anashtumu  baada  bila  ghasia  haitorejea  hao  hayo  iwapo  kama  kuachiliwa  kupitia  kushikilia  kuwa  kwa  maoni  mara  mashtaka  maswala  mkuu  ni  nyingine  odinga  polisi  raila  tena  tume  uchaguzi  uchaguzi.  umuhimu  wa  waki  washukiwa  wataendelea  waziri  ya  yafaayo.  yajadiliwe.  yanafaa  za 


Rating: ( ratings)    Views: 3453    Comments: 2

Kenyansoul Says:

Nov 23, 2008 - We have a retard for a Prime Minister

LetusbFree Says:

Nov 23, 2008 - He's doing a good job